WWW.TANZANIALEO.BLOGSPOT.COM
Thursday, May 5, 2016
MATUKIO YA BUNGE LINAENDELEA MJINI DODOMA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa akijibu maswali ya papo kwa papo yanayoulizwa na Wabunge leo mjini Dodoma.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai akiingia kwenye ukumbi wa Bunge leo mjini Dodoma.
Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe akiwasili viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma
Wabunge wakiwasili viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.
(Picha na Eleuteri Mangi-MALEZO, Dodoma)
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment